safari yangu kurudi Marekani

July 9th, 2009 by student

Hamjambo Kamaria na Lubaya? Ninaandika kuwafahamisha kwamba nilisafiri salama kurudi Marekani. Hata hivyo, bado nina uchovu sana na sijaanza kufanya kazi yangu vizuri. Mnaendeleaje huko Nairobi?